Dira, Dhamira na Maadili ya Msingi 
                        
                    
                
            
                            Dira, Dhamira na Maadili ya Msingi 
                        
                    Dira
“Kuwa Mamlaka bora na inayoongoza katika utoaji wa huduma za majisafi na usafi wa mazingira katika bara la Afrika”.
Dhima
"Kutoa huduma bora na endelevu za majisafi na usafi wa mazingira kwa gharama nafuu ili kuchangia maendeleo ya kiuchumi na kijamii katika Jiji la Kahama na Tanzania kwa ujumla".
Maadili ya Msingi
AUWSA inafanya kazi zake kwa kufuata maadili ya msingi yafuatayo;
- Weledi;
 - Uadilifu;
 - Uwajibikaji;
 - Ubunifu na uvumbuzi kiutendaji;
 - Kumjali Mteja;
 - Ushirikiano katika kazi; na
 - Ubora wa kazi na thamani.