Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama

( KUWASA )

Kuhusu sisi

<p style="text-align:justify"><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><strong><span style="font-family:Oswald">Mamlaka Ya MajiSafi Na Usafi Wa Mazingira Kahama (KUWASA)</span></strong></span></span></p> <p style="text-align:justify"><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><span style="font-family:Oswald">KUWASA ilianzishwa mnamo tarehe 21 Juni 2002 kwa sheria ya &quot;water works Act cap 272&quot; iliyofanyiwa marekebisho na sheria ya Maji na Usafi wa Mazingira ya mwaka 2009.</span></span></span></p> <p style="text-align:justify"><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><span style="font-family:Oswald">KUWASA ipo katika daraja A. Hii inamaanisha kuwa Mamlaka ina wajibu wa kugharamia shughuli zote za kiutendaji na Maboresho ya Huduma.</span></span></span></p> <p style="text-align:justify"><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><strong><span style="font-family:Oswald">Chanzo chetu cha Maji</span></strong></span></span></p> <p style="text-align:justify"><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><span style="font-family:Oswald">Chanzo chetu cha maji ni Ziwa Victoria ambako maji yanasafirishwa kwa umbali wa kilomita 117 kwa mabomba.</span></span></span></p> <p style="text-align:justify"><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><strong><span style="font-family:Oswald">Dhima Yetu</span></strong></span></span></p> <p style="text-align:justify"><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><span style="font-family:Oswald">Kutoa huduma bora na endelevu za majisafi na usafi wa mazingira zinazokidhi vigezo kimataifa kwa bei nafuu.</span></span></span></p> <p style="text-align:justify"><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><strong><span style="font-family:Oswald">Dira Yetu</span></strong></span></span></p> <p style="text-align:justify"><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><span style="font-family:Oswald">Kuwa Mamlaka Bora katika kutoa huduma endelevu za Majisafi na Usafi wa Mazingira Nchini Tanzania.</span></span></span></p> <p style="text-align:justify"><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><strong><span style="font-family:Oswald">Misingi Ya Utendaji Wetu</span></strong></span></span></p> <p><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><span style="font-family:Oswald">1. Kutimiza Dira na Dhima ya Mamlaka.<br /> 2. Kuboresha na Kukuza Ushirikiano na Kujituma<br /> 3. Uwazi<br /> 4. Ukweli<br /> 5. Uwajibikaji.<br /> 6. Wateja Kwanza<br /> 7. Watumishi ni Rasilimali namba moja ya Mamlaka<br /> 8. Kuwajibika kwa jamii inayotuzunguka<br /> 9. Wafanyakazi kuhimizwa kujifunza na kubadilishana maarifa</span></span></span></p> <p style="text-align:justify"><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><strong><span style="font-family:Oswald">Malengo Yetu</span></strong></span></span></p> <ol> <li><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><span style="font-family:Oswald">Kuboresha Upatikanaji wa MajiSafi na Salama</span></span></span></li> <li><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><span style="font-family:Oswald">Kuboresha makusanyo ya mwezi ya huduma ya Majisafi</span></span></span></li> <li><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><span style="font-family:Oswald">Kuboresha utunzwaji wa Mazingira na Uhifadhi wa vyanzo vya maji</span></span></span></li> <li><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><span style="font-family:Oswald">Kuboresha makusanyo ya mwezi ya huduma ya Majitaka</span></span></span></li> <li><span style="font-size:12pt"><span style="font-family:Calibri,sans-serif"><span style="font-family:Oswald">&nbsp;Kufanikisha kuboresha na kuongezwa kwa sheria ya MajiSafi na Usafi wa mazingira.</span></span></span></li> </ol>