Barua Pepe: info@kuwasa.go.tz  Simu (BURE): 0737 804 270 | 0737 804 271

Zifuatazo ni bei mpya za maji kuanzia tarehe 01/07/2019.

Na: Kundi la wateja Bei za Zamani Bei Mpya Wastani wa Bei kwa Ndoo (20l) Bei ya kurudishiwa Huduma kwa waliositishiwa
1 Majumbani 1,688 1,888 37.76 15,000
2 Taasisi 2,060 2,320 46.4 30,000
3 Biashara 2,165 2,450 49 30,000
4 Viwanda 2,327 2,601 52.02 30,000
5 Magati 2,000 2,000 40.00 20,000
6 Migodi 3,275 3,670 73.4 200,000
7 Kuosha Magari (Car Wash) 3,125 3,493 69.06 30,000

Aidha, Mamlaka inawatangazia kuanzia tarehe 1/07/2019 bei ya hduma ya kumwaga majitaka itakua ama ifuatavyo:

Na: Ukubwa wa Gari la taka Bei ya Sasa
1 Gari lenye ujazo wa 10m3 10,000
2 Gari lenye ujazo wa 5m3 5,000
3 Gari lenye ujazo wa 4m3 5,000
4 Gari lenye ujazo wa 3m3 5,000

Malipo kwa M-Pesa

*150*00#
Chagua 4 "LIPA KWA MPESA"
Chagua 5 "MALIPO YA SERIKALI"
Chagua 1 "NAMBA ZA MALIPO"
Weka Control Number
Weka Kiasi
Weka neno la siri

Malipo kwa Halopesa

*150*88#
Chagua 4 "LIPA BILI"
Chagua 5 "MALIPO YA SERIKALI"
Weka Control Number
Weka Kiasi
Weka neno la siri

Malipo kwa Mawakala wa Benki

Unaweza pia kulipia ankara yako kwa kupeleka Namba ya Malipo (Control Number) kwa wakala wa benki yoyote.

Malipo kwa TTCL Pesa

*150*71#
Chagua 4 "LIPA BILI"
Chagua 5 "MALIPO YA SERIKALI"
Weka Control Number
Weka Kiasi
Weka neno la siri

Malipo kwa Tigo Pesa

*150*00#
Chagua 4 "LIPA BILI"
Chagua 5 "MALIPO YA SERIKALI"
Weka Control Number
Weka Kiasi
Weka neno la siri

Fahamu Ankara Yako

*152*00#
Chagua 6 "MAJI"
Chagua 8 "KAHAMAUWASA"
Chagua 1 "ANGALIA BILI"
Weka namba yako ya uteja (Akaunti namba)
Subiri ujumbe (SMS) wa bili yako

 

Dira Yetu

Kuwa Mamlaka Bora katika kutoa huduma endelevu za Majisafi na Usafi wa Mazingira Nchini Tanzania.

Dhima Yetu

Kutoa huduma bora na endelevu za majisafi na usafi wa mazingira zinazokidhi vigezo kimataifa kwa bei nafuu.

Chanzo cha Maji

Chanzo chetu cha maji ni Ziwa Victoria ambako maji yanasafirishwa kwa umbali wa kilomita 117 kwa mabomba

 
Go to Top