Barua Pepe: info@kuwasa.go.tz  Simu (BURE): 0737 804 270 | 0737 804 271

 

MAWASILIANO YETU

Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Mjini Kahama (KUWASA)
S.L.P 102, Kahama,
Shinyanga, Tanzania.
Simu: +255 (0) 282710349
Nukushi: +255 (0) 282710349
Barua-Pepe: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.
Tovuti: www.kuwasa.go.tz

 

Contact Us

Usisite kuwasiliana nasi kupitia: 

Joomla forms builder by JoomlaShine
 

Kusitishiwa Huduma

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama itasitisha huduma ya maji kwa mteja endapo atafanya yafuatayo

  • Kushindwa kulipa ankara (bili) ya kila mwezi
  • Kuiba maji kwa namna yoyote mfano:- kujiungajishia maji kinyume na utaratibu, kuharibu dira ili isisome vizuri, kukata bomba linalota maji n.k
  • Ikabainika kua mteja amesababisha mivujo ya maji kwa makusudi

Hivyo Mamlaka inawasisitiza wateja kufuata taratibu zilizowekwa za kuunganisha maji na kulipia ankara za maji kila mwezi ili kuepuka gharama na adhabu zinazosababishwa na kusitishiwa huduma.

 

Dira Yetu

Kuwa Mamlaka Bora katika kutoa huduma endelevu za Majisafi na Usafi wa Mazingira Nchini Tanzania.

Dhima Yetu

Kutoa huduma bora na endelevu za majisafi na usafi wa mazingira zinazokidhi vigezo kimataifa kwa bei nafuu.

Chanzo cha Maji

Chanzo chetu cha maji ni Ziwa Victoria ambako maji yanasafirishwa kwa umbali wa kilomita 117 kwa mabomba

 
Go to Top